Tanzania Farmers Club on Clubhouse

Tanzania Farmers Club Clubhouse
195 Members
Updated: Jul 22, 2024

Description

Tanzania Farmers Club | Dhamira yetu kubwa ni kushirikishana habari kuhusu kilimo, kubadilishana maarifa, ujuzi, pamoja na kuwakutanisha wakulima kujadili maswala mbalimbali yanayohusu kilimo.
Mawazo ya mtu yaheshimiwe.: Ni wajibu wa kila mmoja katika club kuheshimu wazo la mwenzake hata kama atakua na mtizamo tofauti, aidha wazo la mtu lipingwe kwa hoja.
Lugha za matusi haziruhusiwi.: Haturuhusu lugha za matusi na lugha zinazosababisha uchochezi, ubaguzi na udhalilishaji.
Tunaruhusu Agenda za Kilimo Tu: Mtu yeyote kwenye Club anaweza kuanzisha agenda lakini ni lazima iwe inahusiana na Kilimo.

Last 30 Records

Day Members Gain % Gain
July 22, 2024 195 +3 +1.6%
April 26, 2024 192 0 0.0%
February 13, 2024 192 0 0.0%
December 30, 2023 192 0 0.0%
November 16, 2023 192 0 0.0%
October 16, 2023 192 0 0.0%

Charts

Some Club Members

More Clubs